TAASISI ZA SANAA ZITUMIKE KUENDELEZA SANAA

Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amezisisitiza  Taasisi za Sanaa kutumika katika kuendeleza  sanaa na sio kuwa chombo cha kuonea na kukandamiza wasanii. Dkt. Abbasi amesema hayo  Juni 24, 2021 Jijini Dar  es Salaam alipomuwakilisha Waziri Mhe. Innocent Bashungwa kwenye Hafla ya Ufunguzi