TAASISI ZA SANAA ZITUMIKE KUENDELEZA SANAA
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amezisisitiza Taasisi za Sanaa kutumika katika kuendeleza sanaa na sio kuwa chombo cha kuonea na kukandamiza wasanii. Dkt. Abbasi amesema hayo Juni 24, 2021 Jijini Dar es Salaam alipomuwakilisha Waziri Mhe. Innocent Bashungwa kwenye Hafla ya Ufunguzi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed